Habari za kitheokrasi
Burkina Faso: Kilele chao cha tano mfululizo cha wahubiri mwaka huu wa utumishi kilifikiwa katika Juni, kukiwa na 488 wakiripoti.
Visiwa vya Cook: Ongezeko la asilimia 29 lilifikiwa katika Juni, kukiwa na kilele kipya cha wahubiri 134 wakiripoti.
India: Kilele kipya cha wahubiri 11,524 katika Juni kilikuwa ni ongezeko la asilimia 18 kupita wastani wa mwaka jana.
Ureno: Kilele chao cha tisa mfululizo cha wahubiri kiliripotiwa katika Juni, kukiwa na 38,818 katika utumishi wa shambani. Hilo latoa uwiano mzuri sana wa wahubiri kwa kulinganisha na watu wote wa 1:258.