Habari Za Kitheokrasi
Bosnia na Herzegovina: Safirisho la msaada limepokewa kutoka kwa ndugu katika Austria na Croatia. Hata hivyo, idadi fulani ya wahubiri wametoroka sehemu hii yenye vita.
Fiji: Programu za siku ya kusanyiko la pekee zilihudhuriwa na watu 3,890, ambayo ni zaidi ya mara mbili wahubiri 1,404 walioripoti katika Septemba.
Japan: Kilele kipya cha wahubiri kwa Septemba kilikuwa 172,512.
Niger: Akina ndugu walifurahi kuanza mwaka mpya wa utumishi kwa vilele vipya vya wahubiri 169 na ziara za kurudia 3,252.
Réunion: Kilele kipya cha wahubiri 2,113 katika Septemba pia waliripoti vilele vipya vya ziara za kurudia na mafunzo ya Biblia.
Swaziland: Kilele kipya cha wahubiri 1,543 kilifikiwa katika Septemba, na wahubiri wa kundi walikuwa na wastani wa saa 13.8 katika utumishi wa shambani.