1914-2014 Miaka Mia Moja ya Utawala wa Ufalme!
Katika mwaka wa 1922, J. F. Rutherford alitangaza hivi kwa ujasiri: “Tazameni, Mfalme anatawala! . . . Mtangazeni, Mfalme na ufalme wake.” Katika mwaka huu wa 100 wa utawala wa Ufalme, maneno hayo bado yanatuchochea sana. Na tujitahidi sana kuufanya mwezi huu wa Agosti uwe wa kihistoria, kwa kuwasaidia wengine wajifunze kuhusu Ufalme kupitia Tovuti yetu!