Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 11/15 uku. 3
  • Matayarisho Ni Muhimu Ili Kufundisha kwa Ustadi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Matayarisho Ni Muhimu Ili Kufundisha kwa Ustadi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Habari Zinazolingana
  • Jitayarishe Vizuri Kufundisha
    Huduma ya Ufalme—2009
  • Sehemu ya 2: Kuongoza Mafunzo ya Biblia Yenye Maendeleo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Jinsi ya Kumsaidia Mwanafunzi wa Biblia Afikie Hatua ya Ubatizo—Sehemu ya Kwanza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
  • Kuongoza Mafunzo ya Biblia Yenye Maendeleo
    Huduma ya Ufalme—2005
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 11/15 uku. 3

Matayarisho Ni Muhimu Ili Kufundisha kwa Ustadi

Yesu aliulizwa swali kuhusu uzima wa milele katika pindi mbili tofauti, lakini alijibu kulingana na uhitaji wa aliyeuliza swali. (Luka 10:25-28; 18:18-20) Kwa hiyo, hata ikiwa tunaifahamu vizuri habari tutakayojifunza, tunahitaji kutayarisha kulingana na uhitaji wa kila mwanafunzi. Je, kuna jambo ambalo hataelewa au kukubali kwa urahisi? Ni maandiko gani tutasoma pamoja naye? Tutajifunza habari nyingi kadiri gani? Huenda tukahitaji kutayarisha mfano, maelezo, au maswali kadhaa yatakayomwezesha mwanafunzi kuelewa habari tutakayozungumzia. Kwa kuongezea, kwa kuwa Yehova ndiye anayeikuza mbegu ya kweli moyoni, tunapaswa kusali ili tupate mwongozo tunapojitayarisha kwa ajili ya funzo. Pia, tumwombe Yehova amsaidie mwanafunzi na abariki jitihada zetu za kumsaidia mwanafunzi huyo afanye maendeleo ya kiroho.—1 Kor. 3:6; Yak. 1:5..

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki