Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Aprili uku. 7
  • Rafiki wa Kweli Anatoa Shauri Lenye Kujenga

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Rafiki wa Kweli Anatoa Shauri Lenye Kujenga
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Alimponya Maumivu Yake
    Igeni Imani Yao
  • Somo la Jinsi ya Kushughulika na Matatizo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Barua Kutoka Baraza Linaloongoza
    Mrudie Yehova
  • Thawabu ya Ayubu—Chanzo cha Tumaini
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Aprili uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AYUBU 33-37

Rafiki wa Kweli Anatoa Shauri Lenye Kujenga

Makala Iliyochapishwa

Elihu alipoanza kuongea, ushauri wake ulikuwa tofauti kabisa na ule wa Elifazi, Bildadi, na Sofari.Alizungumzia mambo tofauti na pia alimtendea Ayubu kwa njia tofauti. Alijithibitisha kuwa rafiki wa kweli na mshauri mzuri, hivyo, tunapaswa kumwiga.

Elihu anazungumza na Ayubu huku Elifazi, Bildadi, na Sofari wakitazama

SIFA ZA MSHAURI MZURI

ELIHU ALIWEKA KIELELEZO KIZURI

32:4-7, 11, 12; 33:1

  • MWENYE SUBIRA

  • ANASIKILIZA KWA MAKINI

  • MWENYE HESHIMA

  • Elihu alingoja kwa subira mpaka wanaume wazee walipomaliza kuzungumza ndipo akaongea

  • Kwa sababu alisikiliza kwa makini, alikuwa na uwezo mzuri zaidi wa kuyaelewa masuala kabla ya kutoa ushauri

  • Alimwita Ayubu kwa jina na kuongea naye kama rafiki

33:6, 7, 32

  • MNYENYEKEVU

  • MWENYE KUFIKIKA

  • MWENYE HURUMA

  • Elihu alikuwa mnyenyekevu na mwenye fadhili, alikiri kwamba hakuwa mkamilifu

  • Alimhurumia Ayubu kwa sababu alikuwa akiteseka

33:24, 25; 35:2, 5

  • MWENYE USAWAZIKO

  • MWENYE FADHILI

  • ANAMTEGEMEA MUNGU

  • Elihu alimwonyesha Ayubu kwa fadhili kwamba maoni yake yalikosa usawaziko

  • Elihu alimsaidia Ayubu kuona kwamba uadilifu wa Ayubu haukuwa jambo muhimu zaidi

  • Ushauri uliofaa wa Elihu ulitayarisha njia ili Ayubu apate maagizo zaidi kutoka kwa Yehova mwenyewe

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki