Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Julai uku. 3
  • Msifu Yehova, Msikiaji wa Sala

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Msifu Yehova, Msikiaji wa Sala
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Uwe Imara Katika Sala
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
  • Kumjia Msikiaji wa Sala
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
  • Jinsi ya Kusali na Kusikiwa na Mungu
    Kweli Iongozayo Kwenye Uzima wa Milele
  • Mkaribie Mungu Katika Sala
    Biblia Inafundisha Nini Hasa?
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Julai uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 60-68

Msifu Yehova, Msikiaji wa Sala

Sali kuhusu ahadi ulizomtolea Yehova

61:1, 8

  • Kusali kuhusu ahadi zetu kutaimarisha azimio letu la kuzitimiza

  • Kujiweka wakfu kwa Mungu ndiyo ahadi ya maana zaidi tunayoweza kutoa

Hana akisali

Hana

Onyesha unamtegemea Yehova kwa kummiminia moyo wako katika sala

62:8

  • Sala iliyojaa maana inapaswa kuhusisha hisia zetu za ndani sana

  • Tunapotoa sala hususa, tutaweza kutambua Yehova anapojibu sala hizo

Yesu akisali

Yesu

Yehova ni Msikiaji wa sala za watu wote wenye mioyo minyoofu

65:1, 2

  • Yehova husikiliza sala za “watu wote wenye mwili” wanaotaka kumjua kikweli na wanaotaka kufanya mapenzi yake

  • Tunaweza kusali kwa Yehova wakati wowote

Kornelio akisali

Kornelio

Andika mambo fulani unayotaka kutaja katika sala zako.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki