HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 106-109
“Mshukuruni Yehova”
Kwa nini Waisraeli walisahau upesi matendo ya wokovu ya Yehova?
Waliacha kumkazia Yehova fikira na wakaanza kukazia fikira mapendezi na mahitaji yao ya kimwili
Unaweza kufanya nini ili kusitawisha na kudumisha moyo wenye shukrani?
Kazia fikira sababu nyingi ulizo nazo za kumshukuru Yehova
Tafakari kuhusu tumaini letu la wakati ujao
Mshukuru Yehova katika sala kwa ajili ya baraka hususa