Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Desemba uku. 8
  • Kutumia Mamlaka Vibaya Humfanya Mtu Apoteze Mapendeleo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutumia Mamlaka Vibaya Humfanya Mtu Apoteze Mapendeleo
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Mafundisho Kuhusu Kukosa Uaminifu
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
  • “Msimamizi wa Nyumba” Huyo Anapoikabili Har–Magedoni
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Nidhamu​—Uthibitisho wa Upendo wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Mfalme Apata Thawabu kwa Sababu ya Imani Yake
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Desemba uku. 8

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ISAYA 17-23

Kutumia Mamlaka Vibaya Humfanya Mtu Apoteze Mapendeleo

Shebna alikuwa msimamizi-nyumba. Huenda alisimamia nyumba ya Mfalme Hezekia. Alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme na alitarajiwa atimize mengi.

Shebna akiwaamuru watu watayarishe kaburi lake

22:15, 16

  • Shebna alipaswa kuhangaikia mahitaji ya watu wa Mungu

  • Kwa ubinafsi alijitafutia utukufu

22:20-22

  • Yehova alimnyang’anya Shebna mamlaka na kumpa Eliakimu

  • Eliakimu alikabidhiwa “ufunguo wa nyumba ya Daudi,” unaowakilisha nguvu na mamlaka

Fikiria hili: Shebna alipaswa kutumiaje mamlaka yake kuwasaidia wengine?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki