HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ISAYA 17-23
Kutumia Mamlaka Vibaya Humfanya Mtu Apoteze Mapendeleo
Shebna alikuwa msimamizi-nyumba. Huenda alisimamia nyumba ya Mfalme Hezekia. Alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme na alitarajiwa atimize mengi.
Shebna alipaswa kuhangaikia mahitaji ya watu wa Mungu
Kwa ubinafsi alijitafutia utukufu
Yehova alimnyang’anya Shebna mamlaka na kumpa Eliakimu
Eliakimu alikabidhiwa “ufunguo wa nyumba ya Daudi,” unaowakilisha nguvu na mamlaka
Fikiria hili: Shebna alipaswa kutumiaje mamlaka yake kuwasaidia wengine?