Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Februari uku. 3
  • Kristo Aliteseka kwa Ajili Yetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kristo Aliteseka kwa Ajili Yetu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Yehova Amkweza Mtumishi Wake wa Kimesiya
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Mawonyesho Mawili Yaliyo Makubwa Zaidi Sana ya Upendo Ambayo Yamepata Kufanywa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Februari uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ISAYA 52-57

Kristo Aliteseka kwa Ajili Yetu

“Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu . . . Sisi tulimhesabu kama aliyepata mapigo, aliyepigwa na Mungu na kuteswa”

53:3-5

  • Yesu alidharauliwa na kushtakiwa kuwa alikufuru. Wengine waliamini kwamba Mungu alikuwa akimwadhibu, kana kwamba alikuwa akimpiga kwa ugonjwa wenye kuchukiza sana

    Yesu aliazimia kuwa mshikamanifu licha ya kwamba alijua atateswa

“Yehova alipendezwa kumponda, . . . na mapendezi ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake”

53:10

  • Bila shaka Yehova aliteseka alipomwona Mwana wake akiuawa. Lakini alipendezwa sana kumwona Yesu akidumisha uaminifu kikamili. Kifo cha Yesu kilijibu dai la Shetani kuhusu ushikamanifu wa watumishi wa Mungu na kiliwanufaisha wanadamu wanaotubu. Kwa hiyo, kilisaidia kutimiza “mapendezi ya Yehova”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki