Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Juni uku. 3
  • Neno la Yehova Hutimia Kikamili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Neno la Yehova Hutimia Kikamili
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Babuloni Wenye Uweza Ile Serikali Kubwa ya Tatu ya Ulimwengu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Biblia—Kitabu cha Unabii Sahihi, Sehemu ya 2
    Amkeni!—2012
  • “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Mwisho Wenye Kutazamisha wa Dini ya Uwongo Waonekana Kimbele
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Juni uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 51-52

Neno la Yehova Hutimia Kikamili

Yehova alitabiri kwa usahihi matukio ya wakati ujao

Mpiga-mishale wa Kiajemi ambaye ni mlinzi wa mfalme

Mpiga-mishale wa Kiajemi ambaye ni mlinzi wa mfalme

“Isugueni mishale”

51:11, 28

  • Wamedi na Waajemi walikuwa wapiga-mishale stadi na upinde ulikuwa silaha yao kuu. Walisugua mishale yao ili iweze kupenya ndani zaidi kwa urahisi

“Wanaume wenye nguvu wa Babiloni wameacha kupigana”

51:30

  • Maandishi ya Matukio ya Nabonido yanasema: “Jeshi la Koreshi liliingia Babiloni bila kupigana.” Inaelekea inamaanisha waliingia bila vita na jambo hilo linapatana na unabii wa Yeremia

Maandishi ya Matukio ya Nabonido

Maandishi ya Matukio ya Nabonido

“Babiloni atakuwa marundo ya mawe [na] mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo”

51:37, 62

  • Kuanzia mwaka wa 539 K.W.K., umashuhuri wa Babiloni ulianza kupungua. Aleksanda Mkuu alikusudia kuifanya Babiloni iwe mji mkuu, lakini alikufa ghafla. Mwanzoni mwa kipindi cha Ukristo, bado kulikuwa na Wayahudi walioishi katika jiji hilo; kwa sababu hiyo, mtume Petro alitembelea Babiloni. Lakini kufikia karne ya nne W.K., jiji hilo lilikuwa magofu, na hatimaye halikukaliwa tena na watu

    Mfuatano wa wakati unaoonyesha shambulio dhidi ya Babiloni, kifo cha Aleksanda Mkuu, Petro akiwa Babiloni, na Babiloni likiwa magofu

Kutimia kwa unabii wa Biblia kunapaswa kuniathirije?

Ninaweza kuwafundisha nini wengine kuhusu unabii huu?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki