HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 24-27
Unabii Kuhusu Tiro Unaimarisha Imani Yetu Katika Neno la Yehova
Makala Iliyochapishwa
Kitabu cha Ezekieli kilitabiri mambo hususa kuhusu kuharibiwa kwa Tiro.
Muda fulani baada ya 607 K.W.K., ni nani aliharibu jiji la Tiro lililokuwa barani?
Mnamo 332 K.W.K., ni nani․alitumia magofu ya jiji la Tiro lililokuwa barani kujenga barabara juu ya maji na kuharibu jiji la kisiwani la Tiro?