Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Agosti uku. 3
  • Yehova Alithawabisha Taifa la Kipagani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Alithawabisha Taifa la Kipagani
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Tiro—Ulikuwa Mji Wenye Hila
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Yehova Huwathawabisha Wale Wanaomtafuta kwa Bidii
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • Yehova Aharibu Kiburi cha Tiro
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
  • Unabii Kuhusu Tiro Unaimarisha Imani Yetu Katika Neno la Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Agosti uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 28-31

Yehova Alithawabisha Taifa la Wapagani

29:​18-​20

Ikiwa Yehova alithawabisha taifa la wapagani kwa kazi waliyofanya, bila shaka ataonyesha uthamini mkubwa zaidi kwa ajili ya kazi inayofanywa na watumishi wake washikamanifu!

MATENDO YA WABABILONI

Kuzingira Tiro

Askari Wababiloni wakizingira Tiro

MATENDO YANGU

Ni vita gani vya kiroho ninavyopigana?

JINSI WABABILONI WALIVYOJIDHABIHU

  • Wababiloni walijidhabihu kwa kuzingira Tiro kwa miaka 13 jambo ambalo liliwagharimu sana

    Mazingiwa ya Tiro yalidumu kwa miaka 13 na yaligharimu sana

  • Askari Wababiloni waliteseka kimwili

    Askari wa Babiloni waliteseka kimwili

  • Wababiloni walijidhabihu kwa kufanya kazi bila kupata nyara zozote

    Wababiloni hawakupata nyara zozote

JINSI NINAVYOJIDHABIHU

Nimejidhabihu jinsi gani ili kufanya utumishi wa Yehova?

JINSI YEHOVA ALIVYOWATHAWABISHA WABABILONI

Yehova aliwapa Misri kuwa nyara

Sanduku la hazina

THAWABU KUTOKA KWA YEHOVA

Yehova ananithawabishaje?

Patanisha andiko sahihi na manukuu yaliyoonyeshwa.

  • Ru 2:​12

  • Mal 3:​16

  • Ebr 6:​10

  • “Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake.”

  • “Yehova na akupe thawabu kwa sababu ya jinsi unavyotenda, na upate malipo kamili kutoka kwa Yehova.”

  • “Kitabu cha kumbukumbu kikaanza kuandikwa mbele zake kwa ajili ya wale wenye kumwogopa Yehova na kwa ajili ya wale wanaolifikiria jina lake.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki