Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Oktoba uku. 8
  • “Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Jihadharini na Manabii Wawongo!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • Tutaenda Pamoja Nanyi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
  • Ni Nani ‘Atakayeponyoka’?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
  • Kitabu Cha Biblia Namba 29—Yoeli
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Oktoba uku. 8

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOELI 1-3

“Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”

2:​28, 29

Wakristo watiwa-mafuta wanashiriki kazi ya kutoa unabii. Wanasema kuhusu “mambo makuu ya Mungu” na kutangaza “habari njema ya ufalme.” (Mdo 2:11, 17-21; Mt 24:14) Kondoo wengine wanawaunga mkono kwa kushiriki katika kazi hiyo

Siku ya Pentekoste Mkristo mtiwa-mafuta ‘akitoa unabii’ kwa kuwahubiria watu wa lugha mbalimbali “habari njema ya Ufalme”

2:​32

‘Kuliitia jina la Yehova’ kunamaanisha nini?

  • Kujua jina hilo

  • Kuheshimu jina hilo

  • Kutegemea na kumtumaini Yule anayeitwa kwa jina hilo

Jiulize, ‘Ninaweza kufanya nini ili kuwaunga mkono watiwa-mafuta katika kazi ya kutoa unabii?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki