HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOELI 1-3
“Wana Wenu na Binti Zenu Watatoa Unabii”
Wakristo watiwa-mafuta wanashiriki kazi ya kutoa unabii. Wanasema kuhusu “mambo makuu ya Mungu” na kutangaza “habari njema ya ufalme.” (Mdo 2:11, 17-21; Mt 24:14) Kondoo wengine wanawaunga mkono kwa kushiriki katika kazi hiyo
‘Kuliitia jina la Yehova’ kunamaanisha nini?
Kujua jina hilo
Kuheshimu jina hilo
Kutegemea na kumtumaini Yule anayeitwa kwa jina hilo
Jiulize, ‘Ninaweza kufanya nini ili kuwaunga mkono watiwa-mafuta katika kazi ya kutoa unabii?’