HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AMOSI 1-9
“Mtafuteni Yehova, Mwendelee Kuishi”
Kumtafuta Yehova kunamaanisha nini?
Kunamaanisha kuendelea kujifunza kumhusu Yehova na kuishi kulingana na viwango vyake
Ni jambo gani lililowapata Waisraeli walipokosa kumtafuta Yehova?
Waliacha ‘kuchukia yaliyo mabaya, na kupenda yaliyo mema’
Walikazia fikira mapendezi yao wenyewe
Walipuuza maagizo ya Yehova
Yehova ametupatia msaada gani ili tumtafute?