Kuhubiri sokoni nchini Sierra Leone
Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi
AMKENI!
Swali: Kwa nini hali za ulimwengu zinaendelea kuwa mbaya?
Andiko: Yer 10:23
Toleo: Gazeti hili linaonyesha sababu zinazofanya mamilioni ya watu waamini kwamba wakati ujao utakuwa mzuri.
AMKENI!
Swali: Je, Mungu ana jina?
Andiko: Zb 83:18
Toleo: Makala hii inazungumzia maana ya jina la Mungu na kwa nini tunapaswa kulitumia. [Fungua makala yenye kichwa “Maoni ya Biblia—Jina la Mungu.”]
FUNDISHA KWELI
Swali: Je, kuna wakati ambapo kifo hakitakuwepo?
Andiko: 1Ko 15:26
Kweli: Yehova atakomesha kifo milele.
ANDIKA UTANGULIZI WAKO
Ukitumia mpangilio ulioonyeshwa katika mifano iliyotangulia tayarisha utangulizi wako kwa ajili ya utumishi.