HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATHAYO 16-17
Unafikiria Mawazo ya Nani?
Ingawa bila shaka Petro alikuwa na nia njema, Yesu alirekebisha haraka mawazo yasiyofaa ya Petro
Yesu alijua kwamba huo haukuwa wakati wa ‘kujitendea kwa fadhili.’ Shetani alitamani sana Yesu alegeze msimamo wake wakati huo muhimu sana
Yesu alitaja mambo matatu tunayopaswa kufanya ili kuruhusu mapenzi ya Mungu yatuongoze. Mambo hayo yanahusisha nini?
Jikane mwenyewe
Beba mti wako wa mateso
Endelea kumfuata Yesu