HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MARKO 7-8 Beba Mti Wako wa Mateso na Uendelee Kunifuata 8:34 Yesu alisema: ‘Endelea kunifuata.’ Kwa hiyo, tunapaswa kuwa wavumilivu. Unaweza kufanya hivyo jinsi gani inapohusu . . . sala? funzo? huduma? kuhudhuria mikutano? kutoa maelezo mikutanoni?