HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MARKO 13-14
Epuka Mtego wa Kuwaogopa Wanadamu
Kwa nini mitume walishindwa kuwa jasiri walipokabili shinikizo?
Walijiamini kupita kiasi. Hata Petro alihisi kwamba yeye angekuwa mshikamanifu kwa Yesu kuliko mitume wengine wote
Hawakuendelea kukesha na kusali
Baada ya ufufuo wa Yesu, ni nini kilichowasaidia mitume waliotubu kuepuka kuwaogopa wanadamu na kuhubiri licha ya upinzani?
Walizingatia maonyo ya Yesu, kwa hiyo walikuwa tayari kukabiliana na upinzani na mateso
Walimtegemea Yehova na wakasali.—Mdo 4:24, 29
Ni hali zipi zinazoweza kujaribu ujasiri wetu?