HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOHANA 13-14
“Nimewawekea Kielelezo”
Alipoosha miguu ya mitume wake, Yesu alikuwa akiwafundisha unyenyekevu na kwamba wanapaswa kuwa tayari kufanya kazi za hali ya chini kwa ajili ya ndugu zao.
Ninaweza kuonyeshaje unyenyekevu . . .
ninapokosana na wengine?
ninaposhauriwa?
Jumba la Ufalme linapohitaji kusafishwa au kudumishwa?