HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 4-5
Waliendelea Kutangaza Neno la Mungu kwa Ujasiri
Ni nini kilichofanya mitume wastahili kuwa walimu? Ni nini kilichowawezesha kuzungumza kwa ujasiri na uhakika? “Walikuwa pamoja na Yesu,” Mwalimu Mkuu, na walijifunza kutoka kwake. (Mdo 4:13) Tunajifunza masomo gani kutoka kwa Yesu ambayo yanaweza kutusaidia kuwa wahudumu wenye matokeo?