Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Desemba uku. 3
  • Barnaba na Paulo Wafanya Wanafunzi Katika Maeneo ya Mbali

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Barnaba na Paulo Wafanya Wanafunzi Katika Maeneo ya Mbali
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Barnaba Yule “Mwana wa Faraja”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
  • “Kujawa na Shangwe na Roho Takatifu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
  • Watu wa Yehova Waimarishwa Katika Imani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Kumaliza Magumu kwa Upendo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Desemba uku. 3
Paulo na Barnaba wakiwa mbele ya Sergio Paulo

Paulo na Barnaba wakiwa mbele ya Sergio Paulo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 12-14

Barnaba na Paulo Wafanya Wanafunzi Katika Maeneo ya Mbali

13:12, 48; 14:1, 21, 22

Licha ya upinzani mkali, Barnaba na Paulo walijitahidi sana kuwasaidia wapole wakubali Ukristo

  • Waliwahubiria watu wa malezi yote

  • Waliwatia moyo wanafunzi wapya “wabaki katika imani”

Hatuwezi kamwe kujua ni nani mwenye “mwelekeo unaofaa kwa ajili ya uzima wa milele” hadi tunapomtolea ushahidi, na huenda tukahitaji kufanya hivyo mara nyingi. Hivyo, tunawahubiria wote bila kubagua.

Ninaweza kumtolea nani funzo la Biblia juma hili?

Ninaweza kutumia njia zipi kuwatia moyo Wakristo wenzangu “wabaki imara katika imani”?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki