Paulo na Barnaba wakiwa mbele ya Sergio Paulo
HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 12-14
Barnaba na Paulo Wafanya Wanafunzi Katika Maeneo ya Mbali
Licha ya upinzani mkali, Barnaba na Paulo walijitahidi sana kuwasaidia wapole wakubali Ukristo
Waliwahubiria watu wa malezi yote
Waliwatia moyo wanafunzi wapya “wabaki katika imani”