HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTHO 1-3
Yehova—“Mungu wa Faraja Yote”
Chanzo kimoja cha faraja ambacho Yehova anaandaa ni kutaniko la Kikristo. Ni zipi baadhi ya njia ambazo tunaweza kuwafariji wanaoomboleza?
Wasikilize bila kuwakatiza
‘Lia na wale wanaolia.’—Ro 12:15
Watumie kadi yenye kutia moyo, barua-pepe, au ujumbe mfupi wa simu.—w17.07 15, sanduku
Sali pamoja nao na kwa ajili yao