HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAGALATIA 1-3
“Nilimpinga Uso kwa Uso”
Simulizi hili linakufundishaje masomo yafuatayo?
Tunapaswa kuwa jasiri.—w18.03 31-32 ¶16
Kuogopa mwanadamu ni mtego.—it-2 587 ¶4
Watu wa Yehova, kutia ndani wale wanaoongoza, si wakamilifu.—w10 6/15 17-18 ¶12
Tunapaswa kuendelea kujitahidi kuondoa ubaguzi.—w18.08 9 ¶5