HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEFESO 1-3
Mpango wa Usimamizi wa Yehova na Kazi Yake
Usimamizi wa Yehova ni mpango wa kuwaunganisha viumbe wake wote wenye akili.
Unawatayarisha watiwa-mafuta kwa ajili ya kuishi mbinguni pamoja Yesu Kristo akiwa Kichwa chao cha kiroho
Unawatayarisha wale watakaoishi duniani chini ya Ufalme wa Kimasihi
Ni katika njia zipi ninaweza kuchangia umoja wa tengenezo la Yehova?