HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YAKOBO 1-2
Njia Inayoongoza Kwenye Dhambi na Kifo
Mawazo yasiyofaa yanapoingia akilini mwako, fanya mambo yafuatayo:
Jitahidi kabisa kukazia fikira jambo tofauti.—Flp 4:8
Tafakari kuhusu matokeo mabaya ya kujiruhusu ushawishiwe.—Kum 32:29
Sali.—Mt 26:41
Unapopata mawazo yasiyofaa, unaweza kuyabadili na mambo gani yenye kujenga?