HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 3-5
Matokeo Mabaya ya Uwongo wa Kwanza
Shetani amekuwa akiwapotosha watu tangu alipomdanganya Hawa. (Ufu 12:9) Uwongo ufuatao ambao unaendelezwa na Shetani umefanyaje iwe vigumu kwa watu kumkaribia Yehova?
Hakuna Mungu Mweza-Yote
Mungu ni Utatu usioeleweka
Mungu hana jina
Mungu huwatesa watu milele katika moto wa mateso
Mambo yote yanayotendeka ni mapenzi ya Mungu
Mungu hawajali wanadamu
Uwongo huo kumhusu Mungu unakufanya uhisije?
Unaweza kufanya nini ili kufunua uwongo unaoenezwa kuhusu jina la Mungu?