Januari 13-19
MWANZO 3-5
Wimbo 72 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Matokeo Mabaya ya Uwongo wa Kwanza”: (Dak. 10)
Mwa 3:1-5—Ibilisi alimchongea Mungu (w17.02 5 ¶9)
Mwa 3:6—Adamu na Hawa walikosa kumtii Mungu (w00 11/15 25-26)
Mwa 3:15-19—Mungu aliwahukumu waasi (w12 9/1 4 ¶2; w04 1/1 29 ¶2; it-2 186)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 4:23, 24—Kwa nini Lameki alitunga shairi hili? (it-2 192 ¶5)
Mwa 4:26—Inawezekana watu walianza “kuliitia jina la Yehova” katika njia gani katika siku za Enoshi? (it-1 338 ¶2)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 4:17–5:8 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Ni jambo gani lililokupendeza katika utangulizi? Tunajifunza nini kuhusu muda ambao wahubiri walipanga kurudi?
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 3)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha umwachie mwenye-nyumba gazeti la karibuni linalozungumzia jambo ambalo mwenye-nyumba ameuliza. (th somo la 2)
MAISHA YA MKRISTO
“Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo kwa Kutumia Trakti”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video, na kisha zungumzieni jinsi video hiyo inavyoonyesha namna ya kuanzisha mazungumzo kwa kutumia trakti.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 99
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 85 na Sala