HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 21-22
Onyesha Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Uhai
Yehova anaona uhai kuwa wenye thamani. Tunaweza kuonyeshaje kuwa tuna maoni kama yake?
Sitawisha upendo na heshima kuwaelekea wengine.—Mt 22:39; 1Yo 3:15
Onyesha upendo kwa kuongeza bidii katika huduma.—1Ko 9:22, 23; 2Pe 3:9
Onyesha kwamba usalama ni jambo muhimu kwako.—Met 22:3
Kuna uhusiano gani kati ya kuheshimu uhai na kutokuwa na hatia ya damu?