Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Agosti uku. 8
  • Onyesha Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Uhai

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Onyesha Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Uhai
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Vichwa vya Mazungumzo ya Biblia
    Vichwa vya Mazungumzo ya Biblia
  • “Ukombozi Wenu Unakaribia”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • “Mungu Alijaribu Utii wa Abrahamu”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Upendo
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Agosti uku. 8
Picha: 1. Kijana akimsaidia mwanamke mzee kubeba mfuko wenye chakula. 2. Dada akimhubiria mwanamke kwenye eneo la kuteka maji.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 21-22

Onyesha Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Uhai

21:20, 22, 23, 28, 29

Yehova anaona uhai kuwa wenye thamani. Tunaweza kuonyeshaje kuwa tuna maoni kama yake?

  • Sitawisha upendo na heshima kuwaelekea wengine.​—Mt 22:39; 1Yo 3:15

  • Onyesha upendo kwa kuongeza bidii katika huduma.​—1Ko 9:22, 23; 2Pe 3:9

  • Onyesha kwamba usalama ni jambo muhimu kwako.​—Met 22:3

Kuna uhusiano gani kati ya kuheshimu uhai na kutokuwa na hatia ya damu?

Ndugu akipiga miayo huku akiendesha gari usiku sana.
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki