Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Oktoba uku. 4
  • Sifa za Yehova Zinazovutia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sifa za Yehova Zinazovutia
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Alipofunua Sifa Zake
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Upendo Usioshindwa
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kuzijua Njia za Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Oktoba uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 33-34

Sifa za Yehova Zinazovutia

34:5-7

Kuelewa sifa za Yehova, kulimsaidia Musa kushughulika na Waisraeli kwa subira. Vivyo hivyo, tukiongeza uelewaji wetu wa sifa za Yehova, tutaweza kushughulika na ndugu na dada zetu kwa rehema.

  • “Mwenye rehema na huruma”: Yehova huwatunza na kuwajali waabudu wake kwa upendo mwororo, kama tu wazazi wanavyowatunza watoto wao

  • “Si mwepesi wa hasira”: Yehova ni mwenye subira kuelekea waabudu wake, naye huvumilia makosa yao na kuwapa nafasi ya kufanya mabadiliko

  • “Upendo mwingi mshikamanifu”: Yehova anawaonyesha watu wake upendo mshikamanifu ambao ni wa kudumu

Picha: Mashahidi wa Yehova wakiiga sifa za Yehova. 1. Wazee wawili wakitembelea familia nyumbani kwao na kuwatia moyo kwa kutumia Biblia. 2. Dada akimfariji dada mwenzake anayelia.

JIULIZE, ‘Ninaweza kuigaje rehema na huruma ya Yehova?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki