Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Julai uku. 2
  • Jinsi Yehova Anavyotaka Kuabudiwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jinsi Yehova Anavyotaka Kuabudiwa
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Habari Zinazolingana
  • Kanuni za Kuhukumu kwa Uadilifu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Jinsi Sheria Ilivyothibitisha Yehova Anawajali Maskini
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Jinsi Sheria Ilivyoonyesha Yehova Anawajali Wanawake
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Uhai wa Mwanadamu Ni Wenye Thamani kwa Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
mwb21 Julai uku. 2

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Jinsi Yehova Anavyotaka Kuabudiwa

Waisraeli walipaswa kumtii, kumpenda, na kumtumikia Yehova kwa moyo na nafsi yao yote (Kum 11:13; it-2 1007 ¶4)

Mambo yote yanayohusiana na ibada ya uwongo yalipaswa kuharibiwa kabisa (Kum 12:2, 3)

Watu wote walipaswa kuabudu katika sehemu moja (Kum 12:11-14; it-1 84 ¶3)

Yehova anataka watu wake wamwabudu kwa nafsi yao yote, wakatae ibada ya sanamu, na kuwa na umoja.

Picha: Watu wakimfurahisha Yehova kupitia njia wanayomwabudu. 1. Dada mwenye umri mkubwa akimhubiria anayemtunza. 2. Mwanamume akiteketeza vitu vinavyohusiana na roho waovu. 3. Dada watatu wa rangi tofauti wakihudhuria kusanyiko la kimataifa.
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki