HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Jinsi Sheria Ilivyoonyesha Yehova Anawajali Wanawake
Mume hakupaswa kumwacha mke wake ili kwenda vitani katika mwaka wa kwanza wa ndoa (Kum 24:5; it-2 1196 ¶4)
Wajane walitunzwa kimwili (Kum 24:19-21; it-1 963 ¶2)
Wajane ambao hawakuwa na watoto walipewa nafasi ya kupata watoto (Kum 25:5, 6; w11 3/1 23)
JIULIZE, ‘Ninaweza kuwaonyeshaje ufikirio na heshima wanawake walio katika familia yangu na kutanikoni?’