Musa akiwafundisha watu wa Mungu wimbo unaomtukuza Yehova
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Jifunze Kutokana na Usemi wa Mfano Katika Wimbo wa Biblia
Ufundishaji wetu unaweza kuwa kama umande (Kum 32:2, 3; w20.06 10 ¶8-9; ona picha kwenye jalada)
Yehova ni Mwamba (Kum 32:4; w09 5/1 14 ¶4)
Yehova huwalinda watu wake kama tai anavyolinda makinda yake (Kum 32:11, 12; w01 10/1 9 ¶7)
Unaweza kupata wapi mifano mizuri ya kutumia unapofundisha?