HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nenda kwa Nguvu Ulizo Nazo”
Yehova alimpa Gideoni mgawo mgumu (Amu 6:2-6, 14)
Gideoni alihisi kwamba hakustahili mgawo huo (Amu 6:15; w02 2/15 6-7)
Gideoni alifanikiwa kwa sababu Yehova alimpa nguvu (Amu 7:19-22; w05 7/15 16 ¶3)
Yehova anatarajia tutumie nguvu tulizo nazo kumwabudu. Roho yake takatifu inaweza kujazia upungufu wetu na kutusaidia kufanikiwa.—Isa 40:30, 31.