HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Unyenyekevu Ni Bora Kuliko Kiburi
Unyenyekevu ulimsaidia Gideoni kudumisha amani (Amu 8:1-3; w00 8/15 25 ¶3)
Unyenyekevu ulimfanya Gideoni amtukuze Yehova badala ya kujitukuza (Amu 8:22, 23; w17.01 20 ¶15)
Kiburi cha Abimeleki kilimletea yeye na wengine madhara (Amu 9:1, 2, 5, 22-24; w08 2/15 9 ¶9)
Unyenyekevu unaweza kutusaidiaje tunaposhughulika na mwenye nyumba mwenye hasira?