Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Januari uku. 15
  • Sauli Alikuwa Mnyenyekevu na Mwenye Kiasi Mwanzoni

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sauli Alikuwa Mnyenyekevu na Mwenye Kiasi Mwanzoni
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Kimbelembele Huongoza Kwenye Aibu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • “Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Yesu Amchagua Sauli
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Januari uku. 15

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Sauli Alikuwa Mnyenyekevu na Mwenye Kiasi Mwanzoni

Sauli alikuwa mwenye kiasi na alisita kukubali kuwa mfalme (1Sa 9:21; 10:20-22; w20.08 10 ¶11)

Sauli hakutenda bila kufikiri wengine waliposema mambo yasiyofaa kumhusu (1Sa 10:27; 11:12, 13; w14 3/15 9 ¶8)

Sauli alitenda kupatana na mwongozo wa roho takatifu ya Yehova (1Sa 11:5-7; w95 12/15 10 ¶1)

Mzee akimwonyesha andiko dada aliyeshika mwaliko wa harusi.

Unyenyekevu utatusaidia kuona mapendeleo na uwezo wetu kuwa zawadi kutoka kwa Yehova. (Ro 12:3, 16; 1Ko 4:7) Pia, ikiwa sisi ni wanyenyekevu, tutaendelea kumtegemea Yehova ili kupata mwongozo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki