HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Barzilai—Mfano Bora wa Mtu Mwenye Kiasi
Mfalme Daudi alimpa Barzilai fursa ya pekee (2Sa 19:32, 33; w07 7/15 14 ¶5)
Kwa sababu Barzilai alikuwa mwenye kiasi, alikataa fursa hiyo kwa heshima (2Sa 19:34, 35; w07 7/15 14 ¶7)
Uwe mwenye kiasi kama Barzilai (w07 7/15 15 ¶1-2)
Sifa ya kiasi hutusaidia kutambua mambo tunayoweza kufanya na mambo tusiyoweza kufanya. Tunahitaji kuwa wenye kiasi ili tumpendeze Yehova. (Mik 6:8) Tunanufaikaje tunapoonyesha sifa hiyo?