HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Mtegemee Yehova Upate Faraja
Eliya aliogopa hivyo akakimbia ili kuokoa uhai wake (1Fa 19:3, 4; w19.06 15 ¶5)
Yehova alimpa msaada na kumwonyesha nguvu zake kwa njia zenye kustaajabisha (1Fa 19:5-7, 11, 12; ia 103 ¶13; 106 ¶21)
Yehova alimpa kazi ya kufanya (1Fa 19:15-18; ia 106 ¶22)
Yehova anazungumza nasi leo kupitia Neno lake, naye anatukumbusha kwamba anatujali sana na kwamba anatupatia kazi muhimu ya kufanya katika utumishi wake.—1Ko 15:58; Kol 3:23.