HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Si Lazima Uwe Mkamilifu Ili Uwe Mtimilifu
Ayubu alikosea kumchambua Mungu (Ayu 27:1, 2)
Ingawa Ayubu alifanya makosa, angeweza kujiona kuwa mwanamume mtimilifu (Ayu 27:5; it-1 1210 ¶4)
Ili kuwa mtimilifu mtu anapaswa kumpenda Yehova kwa moyo wote, si kuwa mkamilifu (Mt 22:37; w19.02 3 ¶3-5)
JAMBO LA KUTAFAKARI: Kujua kwamba Yehova hatarajii tuwe wakamilifu kunatusaidiaje tusife moyo?