Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Novemba uku. 14
  • Jinsi Ayubu Alivyodumisha Usafi wa Kiadili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jinsi Ayubu Alivyodumisha Usafi wa Kiadili
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Mtu Aliye Mfano Bora Ambaye Alikubali Kusahihishwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Ayubu—Kielelezo cha Mwenendo wa Utawa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Kitabu Cha Biblia Namba 18—Yobu
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • “Mtumaini Yehova”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Novemba uku. 14

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Jinsi Ayubu Alivyodumisha Usafi wa Kiadili

Ayubu alifanya agano na macho yake (Ayu 31:1; w10 4/15 21 ¶8)

Ayubu alitafakari madhara ya matendo yasiyofaa (Ayu 31:​2, 3; w08 9/1 11 ¶4)

Ayubu alikumbuka kwamba Yehova anatazama mwenendo wake (Ayu 31:4; w10 11/15 5-6 ¶15-16)

Ndugu akigeuka mbali kutoka kwenye kompyuta yake na kuifunga upesi akiwa amechukizwa.

Kuwa safi kiadili kunamaanisha kuwa safi na bila unajisi, si nje tu bali pia ndani. Tunataka kuwa safi kiadili moyoni mwetu pia.—Mt 5:28.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki