Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb09 kur. 30-42
  • Kuhubiri na Kufundisha Duniani Kote—2008 Jumla Kuu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuhubiri na Kufundisha Duniani Kote—2008 Jumla Kuu
  • 2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kuhubiri na Kufundisha Ulimwenguni Pote—Jumla Kuu 2007
    2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Kuhubiri na Kufundisha Duniani Kote—Jumla Kuu za 2009
    2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Ripoti ya Ulimwenguni Pote—Jumla Kuu za Mwaka wa 2005
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Ripoti ya Ulimwenguni Pote 2006 Jumla Kuu
    2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
Pata Habari Zaidi
2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb09 kur. 30-42

Kuhubiri na Kufundisha Duniani Kote—2008 Jumla Kuu

KILA mwaka tunasoma katika kitabu hiki jinsi ndugu wanavyojitahidi kuwasaidia watu wamjue na kumpenda Yehova Mungu. Kazi hiyo ya kuwasaidia watu imefanywa kwa kiwango kisicho na kifani. Hakuna tengenezo ambalo lingeweza kulipa mamilioni ya watu kutangaza ujumbe wowote kwa watu wa mataifa mengi hivyo. Lakini katika kazi yao ya kuwafundisha watu Biblia, Mashahidi wa Yehova hawatafuti kufaidika kifedha. Wanafuata maagizo ambayo Yesu aliwapa wanafunzi wake miaka elfu mbili hivi iliyopita: “Mlipokea bure, toeni bure.” (Mt. 10:8) Unapotafakari mambo ambayo yametimizwa katika mwaka wa utumishi uliopita, tua ufikirie yale ambayo yamefanywa na wale wanaojitolea kwa kupenda na bila ubinafsi, kwa sababu wamechochewa na upendo wa Mungu.

2008 Jumla Kuu

Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 115

Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 236

Idadi ya Makutaniko: 103,267

Waliohudhuria Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 17,790,631

Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 9,986

Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 7,124,443

Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 6,829,455

Asilimia ya Ongezeko Kupita 2007: 2.1

Idadi ya Waliobatizwa: 289,678

Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 321,986

Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 732,912

Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,488,658,249

Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 7,133,760

Katika mwaka wa utumishi wa 2008, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 141 za Marekani kwa ajili ya mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wanaosafiri katika kazi yao ya kuhubiri.

◼ Ulimwenguni pote kuna wahudumu 19,820 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni sehemu ya Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.

[Chati katika ukurasa wa 32-39]

RIPOTI YA MWAKA WA UTUMISHI WA 2008 YA MASHAHIDI WA YEHOVA ULIMWENGUNI POTE

(Ona nakala iliyochapishwa)

[Ramani katika ukurasa wa 40-42]

(Ona nakala iliyochapishwa)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki