Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb08 kur. 30-42
  • Kuhubiri na Kufundisha Ulimwenguni Pote—Jumla Kuu 2007

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuhubiri na Kufundisha Ulimwenguni Pote—Jumla Kuu 2007
  • 2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Ripoti ya Ulimwenguni Pote 2006 Jumla Kuu
    2007 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Kuhubiri na Kufundisha Duniani Kote—2008 Jumla Kuu
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Kuhubiri na Kufundisha Duniani Kote—Jumla Kuu za 2009
    2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Ripoti ya Ulimwenguni Pote—Jumla Kuu za Mwaka wa 2005
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
Pata Habari Zaidi
2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb08 kur. 30-42

Kuhubiri na Kufundisha Ulimwenguni Pote—Jumla Kuu 2007

RIPOTI ifuatayo ya mwaka wa utumishi uliopita inasisimua kama nini! Huu si mkusanyo wa habari tu. Badala yake, kurasa zifuatazo zinaonyesha upendo mkubwa na ujitoaji wa wanaume, wanawake, na watoto wanaomhofu Mungu ulimwenguni pote. Naam, ripoti hii inatuonyesha jinsi ndugu na dada wamejidhabihu, na inaonyesha jitihada na mali zilizotumiwa kuhubiri habari njema “mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.” (Mdo. 1:8) Dhabihu hizo, ziwe kubwa ama ndogo, zinathaminiwa sana na Yehova Mungu na Mwana wake, Yesu Kristo. (Zab. 50:14; Luka 21:1-4) Pia, ripoti ya mwaka inatukumbusha kwamba kazi ya kuokoa uhai inaweza tu kufanywa kwa “nguvu ambazo Mungu hutoa.” (1 Pet. 4:11) Kwa hiyo, unapotafakari kuhusu ripoti ya mwaka na mambo yaliyoonwa yafuatayo, na ‘uendelee kujipatia nguvu katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake.’—Efe. 6:10.

Jumla Kuu 2007

Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 113

Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 236

Idadi ya Makutaniko: 101,376

Waliohudhuria Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 17,672,443

Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 9,105

Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 6,957,854

Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 6,691,790

Asilimia ya Ongezeko Kupita 2006: 3.1

Idadi ya Waliobatizwa: 298,304

Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 312,741

Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 678,638

Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,431,761,554

Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 6,561,426

Katika mwaka wa utumishi wa 2007, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 121 za Marekani kwa ajili ya mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wanaosafiri katika kazi yao ya kuhubiri.

◼ Ulimwenguni pote kuna wahudumu 19,581 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni sehemu ya Kikundi cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote wa Mashahidi wa Yehova.

[Chati katika ukurasa wa 32-39]

RIPOTI YA MWAKA WA UTUMISHI WA 2007 YA MASHAHIDI WA YEHOVA ULIMWENGUNI POTE

(Ona nakala iliyochapishwa)

[Ramani katika ukurasa wa 40-42]

(Ona nakala iliyochapishwa)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki