Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 96
Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 239
Idadi ya Makutaniko: 111,719
Hudhurio la Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 19,013,343
Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 12,604
Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 7,782,346
Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 7,538,994
Asilimia ya Ongezeko Kupita 2011: 1.9
Idadi ya Waliobatizwa: 268,777
Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 416,993
Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 950,022
Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,748,697,447
Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 8,759,988
Katika mwaka wa utumishi wa 2012, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 184 za Marekani ili kuwatunza mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wanaosafiri katika migawo yao ya utumishi wa shambani.
◼ Ulimwenguni pote, kuna wahudumu 21,612 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni sehemu ya kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.