Jumla Kuu Mwaka 2013
Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 91
Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 239
Idadi ya Makutaniko: 113,823
Hudhurio la Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 19,241,252
Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 13,204
Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 7,965,954
Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 7,698,377
Asilimia ya Ongezeko Kupita 2012: 2.1
Idadi ya Waliobatizwa: 277,344
Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 496,089
Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 1,025,677
Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,841,180,235
Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 9,254,963
Katika mwaka wa utumishi 2013, Mashahidi wa Yehova walitumia karibu dola milioni 200 za Marekani ili kuwatunza mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wanaosafiri katika migawo yao ya utumishi wa shambani.
Ulimwenguni pote, kuna wahudumu 22,719 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni washiriki wa kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.