Jumla Kuu Mwaka 2014
Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 90
Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 239
Idadi ya Makutaniko: 115,416
Hudhurio la Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 19,950,019
Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 14,121
Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 8,201,545
Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 7,867,958
Asilimia ya Ongezeko Kupita 2013: 2.2
Idadi ya Waliobatizwa: 275,581
Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 635,298
Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 1,089,446
Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,945,487,604
Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 9,499,933
Katika mwaka wa utumishi wa 2014, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 224 za Marekani ili kuwatunza mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wanaosafiri katika migawo yao ya utumishi wa shambani. Ulimwenguni pote, kuna wahudumu 24,711 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni washiriki wa Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.