Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb16 uku. 144
  • Hatutakana Imani Yetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Hatutakana Imani Yetu
  • 2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sikukuu na Maadhimisho
    Shule na Mashahidi wa Yehova
  • Kanuni za Adili Zinazostahili Staha
    Mashahidi wa Yehova na Elimu
  • Barua Kutoka kwa Mtakia-Mema
    Amkeni!—1992
  • “Wokovu Una Bwana”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
Pata Habari Zaidi
2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb16 uku. 144

INDONESIA

Hatutakana Imani Yetu

Daniel Lokollo

  • ALIZALIWA 1965

  • ALIBATIZWA 1986

  • HISTORIA FUPI Painia wa pekee aliyesimama imara wakati wa mnyanyaso.

Daniel Lokollo

MNAMO Aprili 14, 1989, Nilikuwa naongoza mkutano katika mji wa Maumere, katika Kisiwa cha Flores, maofisa wa serikali walipoingia kwa nguvu na kunikamata pamoja na ndugu wengine watatu.

Walinzi wa gereza walitulazimisha kusalimu bendera. Tulipokataa, walituchapa, kutupiga mateke na kutuweka kwenye jua kali kwa siku tano. Usiku tulitetemeka kwa sababu ya kulala kwenye sakafu baridi na chafu ya seli ndogo, tukiwa tumechoka na kuhisi maumivu makali ya majeraha. Mara kwa mara mlinzi wa gereza alisisitiza kwamba tukane imani yetu, lakini tulijibu, “Hata ikiwa tutakufa, hatutasalimu bendera.” Kama Wakristo wengine waliotutangulia, tuliona ni pendeleo “kuteseka kwa ajili ya uadilifu.”—1 Pet. 3:14

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki