Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 1
  • Je, Biblia Ni Kitabu Chenye Hekima ya Wanadamu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Biblia Ni Kitabu Chenye Hekima ya Wanadamu?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Chanzo Kisicho na Kifani cha Hekima Bora
    Ni Nini Lililo Kusudi la Uhai?
  • 2. Iliandikwa Bila Kupendelea na kwa Unyoofu
    Amkeni!—2007
  • Biblia Kitabu cha Pekee
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • ‘Waliongozwa na Roho Takatifu’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 1
Mwandikaji mmoja wa Biblia

Je, Biblia Ni Kitabu Chenye Hekima ya Wanadamu?

Jibu la Biblia

Biblia, ambayo pia huitwa Maandiko Matakatifu, ina maneno mengi ya hekima. Hata hivyo, ona jinsi inavyosema: “Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu.” Kuna uthibitisho mwingi unaounga mkono jambo hilo. Fikiria mambo yafuatayo:

  • Hakuna mtu ambaye amefaulu kupinga usahihi wa historia ya Biblia.

  • Waandishi wa Biblia walikuwa wanaume wanyoofu ambao waliandika bila kupendelea. Unyoofu wao unathibitisha kwamba maandishi yao ni ya kweli.

  • Biblia ina kichwa kimoja kikuu: kutetewa kwa haki ya Mungu ya kutawala wanadamu na utimizo wa kusudi lake kupitia Ufalme wake wa Mbinguni.

  • Ingawa iliandikwa maelfu ya miaka iliyopita, Biblia haina mawazo ya uwongo ya kisayansi ambayo yalikubaliwa na watu wengi nyakati za kale.

  • Hati za kihistoria zilizoandikwa zinathibitisha kwamba unabii wa Biblia, au utabiri wake, ulitimizwa.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki