Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 15
  • Je, Yesu Ni Mungu Mweza Yote?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Yesu Ni Mungu Mweza Yote?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Je! Sikuzote Mungu Ni Mkubwa Kuliko Yesu?
    Je, Uamini Utatu?
  • Yesu Kristo Mwana Mpendwa wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Je, Yesu Ni Mungu Mweza-Yote?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Maandiko Husema Nini Juu ya “Uungu wa Kristo”?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 15
Yesu

Je, Yesu Yesu Ni Mungu Mweza Yote?

Jibu la Biblia

Wapinzani wa Yesu walimshtaki kwamba alijifanya kuwa sawa na Mungu. (Yohana 5:18; 10:30-33) Hata hivyo, Yesu hakuwahi kamwe kudai kwamba alikuwa sawa na Mungu Mweza-Yote. Alisema: “Baba ni mkuu kuliko mimi.”—Yohana 14:28.

Wafuasi wa mapema wa Yesu hawakuamini kwamba alikuwa sawa na Mungu Mweza Yote. Kwa mfano, mtume Paulo aliandika kwamba baada ya Yesu kufufuliwa, Mungu “alimpandisha [Yesu] kwenye cheo cha juu zaidi.” Bila shaka, Paulo hakuamini kwamba Yesu alikuwa Mungu Mweza Yote. Kwa sababu kama angekuwa Mungu Mweza Yote, angepandishwaje kwenye cheo cha juu zaidi?—Wafilipi 2:9.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki