-
Mathayo 3:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Yesu akamjibu: “Acha iwe hivyo wakati huu, kwa maana kwa njia hiyo inafaa tufanye yote yaliyo ya uadilifu.” Ndipo Yohana akaacha kumzuia.
-