18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliwaona ndugu wawili, Simoni, anayeitwa Petro,+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu baharini, kwa maana walikuwa wavuvi.+
18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliona ndugu wawili, Simoni+ anayeitwa Petro+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu wa kuvulia samaki ndani ya bahari, kwa maana walikuwa wavuvi.