13 “Ninyi ndio chumvi ya dunia, lakini chumvi+ ikipoteza nguvu yake, ladha yake itarudishwaje? Haifai tena, inapaswa kutupwa nje+ na kukanyagwa-kanyagwa na watu.
13 “Ninyi ndio chumvi+ ya dunia; lakini chumvi ikipoteza nguvu zake, ladha yake itarudishwaje? Haitumiki tena kwa kitu chochote bali ni ya kutupwa nje+ ili ikanyagwe-kanyagwe na watu.